Msimu Wa Coke Studio Africa Mwaka 2017 Umekuwa Na
Matunda Mazuri Kwa Wasanii Wengi Kutoka Afrika Kupata Nafasi Ya Kufanya Kazi Na
Wasanii Mbali Mbali.
Runtown Kutoka Nigeria Ni Moja Ya Msanii Ambaye Kwa
Mwaka 2017 Amepata Nafasi Ya Kushiriki Katika Jukwaa La Coke Studio Pamoja Na
Msanii Wa Muziki Wa Hiphop Kutoka Afrika Kusini Nasty C Ambaye Pia Ni Moja Ya
Masanii Anayetazamwa Sana Kwa Sasa.
Wasanii Hawa Licha Ya Kufanya Vyema Katika Jukwaa La
Coke Studio Wameamua Kufanya Kazi Hii Pamoja Iitwayo Said Na Video Ya Wimbo Huo
Tumekusogezea Karibu Uweze Kuataza Na Kufurahia
Video Imeongozwa Na Justin Campos Huko South Africa.
NASTY C & RUNTOWN - SAID (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
Reviewed by Natty
on
December 15, 2017
Rating:

No comments: