THE BRIDGES:LUDACRIS NA MKEWE EUDOXIE WASHEREHEKEA MIAKA MITATU YA NDOA YAO KWA STAILI HII

Ludacris  Na Mkewe Eudoxie Mbouguiengue Mwenye Asili Ya Gabon Walifunga Ndoa Ya Haraka Na Iliyowashtua Wengi Kwa Kutokuwa Na Shamra Shamra Na Kuifanya  Ndoa Ya Siri Disemba 26 Mwaka 2014.
Hivyo Kila Ifikapo Desemba Baada Ya Sikukuu Ya Christmas Wawili Hawa Wanasherekea Kumbukumbu Ya Ndoa Yao.

Hivyo Ikiwa Ni Siku Takribani Moja Imesalia Kufikia Kumbukumbu Ya Ndoa Yao,Rapa Na Mwigizaji Ludacris Amemaua Kumshtukiza Mkewe Kwa Kumpeleka Kutalii Katika Makumbusho Ambapo Ni Sehemu Ya Kusherehekea Miaka 3 Ya Ndoa Yao Wakiwa Wenye Furaha Zaidi.

  • ludacrisI’m much more me when I’m with you. Happy Anniversary Mrs Bridges. 🙏🏽
 Kupitia Kurasa Zao Za Instagram Wawili Hao Waliweka Picha Za Matukio Yao Ya Furaha Kwa Pamoja Ikiwa Ni Moja Ya Jambo Linaloashiria Furaha Waliyonayo Katika Ndoa Yao.
Hizi Ni Baadhi Ya Picha Za Matukio Hayo







THE BRIDGES:LUDACRIS NA MKEWE EUDOXIE WASHEREHEKEA MIAKA MITATU YA NDOA YAO KWA STAILI HII THE BRIDGES:LUDACRIS NA MKEWE EUDOXIE WASHEREHEKEA MIAKA MITATU YA NDOA YAO KWA STAILI HII Reviewed by Natty on December 24, 2017 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.